Karibu AJAKAI ICT COMPANY, ofisi ya kisasa inayokuletea huduma mbalimbali za TEHAMA, mafunzo ya kompyuta, huduma za kazi (career services), stationery na matengenezo ya kompyuta — kwa ubora wa hali ya juu na kwa bei rafiki.
Tunajivunia kuwahudumia wanafunzi, wafanyakazi, wajasiriamali na kila mtu anayehitaji msaada wa kompyuta na huduma za kitaalamu za kazi.
👉 Sasa unaweza ku-request huduma zote online kupitia App yetu bila usumbufu!
Hii ndiyo huduma yetu inayoongoza kwa sasa, na tunahakikisha kila mteja anapata huduma ya haraka na yenye viwango vya kisasa.
Tunatoa:
Kutengeneza CV za kisasa (Professional CV)
Kuandaa Job Application Letters
Kuandaa na kurekebisha Certificates/Attachments
Kutuma maombi ya kazi (Online Job Applications)
Kusaidia kujibu Email za waajiri baada ya kuomba kazi
Job Membership Program – tunakutafutia kazi online kila siku na kuku-apply kulingana na sifa zako
📌 Kama unahitaji kazi kwa haraka na kwa njia sahihi, sisi ndio suluhisho lako.
Tunatoa mafunzo ya kompyuta kwa vitendo kuanzia beginner hadi advanced.
Kozi zetu ni pamoja na:
Computer Applications
PC Maintenance
Website Design
Graphics Design
Internet & Email Training
Printing, Scanning & Office Practical Skills
📌 Mafunzo yetu yanaendeshwa kwa mfumo wa darasani na vitendo.
🎓 Unapata ujuzi wa kujitegemea na kujiamini kazini.
Kwa biashara, taasisi au mtu binafsi, tunatoa huduma za IT kwa uhakika.
Tunatoa:
Computer Setup & Installation
Software Installation
Antivirus & Security Setup
Internet/WiFi Setup
Office Network Support
Data Backup & Recovery (basic)
Je kompyuta yako inasumbua? Usijali.
Tunafanya:
Matengenezo ya Laptop & Desktop
Kuongeza RAM / SSD
OS Installation (Windows & drivers)
Computer cleaning & service
Kuondoa virusi / computer slow
Hardware diagnosis & replacement
📌 Tunakupa ushauri kabla ya kubadilisha spare parts ili usipate gharama zisizo za lazima.
Tunapatikana kwa huduma zote za stationery na office support.
Tunatoa:
Printing (B/W & Color)
Photocopy
Scanning
Binding / Spiral
Lamination
Kuuza vifaa mbalimbali (karatasi, kalamu, mafaili n.k.)
Ili kurahisisha huduma na kupunguza foleni, sasa unaweza kuomba huduma online:
✅ Chagua huduma unayotaka
✅ Tuma taarifa zako
✅ Pokea maelekezo / bei
✅ Huduma inafanyika haraka
👉 Bonyeza hapa ku-request huduma kupitia App: BONYEZA HAPA
📌 Kahama, Majengo, Sokola Street
📌 Kahama, Majengo, Isaka Road
📞 Simu: 0755 328 419 / 0678 920 112
💬 WhatsApp: 0678 920 112
📧 Email: info@ajakaiict.net
🌐 Website: www.ajakaiict.net
✔ Huduma za haraka na za uhakika
✔ Wataalamu wenye uzoefu
✔ Bei rafiki
✔ Tuna huduma nyingi sehemu moja
✔ Unaweza ku-request online kupitia App
AJAKAI ICT COMPANY
We fix, we advise and we train you.
Bonyeza Kitufe Kusikiliza: