Katika dunia ya leo ya kidigitali, uwepo wa biashara yako mtandaoni si chaguo tena — ni lazima. Iwe unahitaji website ya kisasa, usimamizi wa mitandao ya kijamii, au matengenezo ya kompyuta, Ajakai ICT Company tupo hapa kukupa suluhisho la uhakika, la kitaalamu na kwa bei nafuu.
Tunasaidia biashara ndogo, za kati na kubwa kukua kidigitali kupitia huduma bora za IT zinazokidhi mahitaji ya sasa ya teknolojia.
Kutengeneza Website – Tsh 200,000
Kusimamia Website (Monthly) – Tsh 80,000
Website Updates & Customization – Tsh NA
Tunatengeneza website za biashara, taasisi, shule, makanisa, maduka ya mtandaoni (E-commerce) na zaidi.
Kutengeneza Akaunti za Biashara (YouTube, Instagram, Facebook, TikTok) – Tsh 20,000
Kusimamia Social Media Accounts (Monthly) – Tsh 50,000
Tunakusaidia kujenga brand yako mtandaoni, kuongeza wateja na kukuza mauzo kupitia mitandao ya kijamii.
Matengenezo ya Computer – Tsh NA
Ku-install Windows – Tsh 15,000
Ku-install Applications – Tsh 5,000
Tunatoa huduma za matengenezo ya kompyuta kwa ofisi, shule na watu binafsi kwa haraka na uhakika.
Email za Biashara (example@company.co.tz) – Tsh 30,000
Website Security & Backup Setup – Tsh 40,000
Logo Design Professional – Tsh 30,000
Graphic Design (Posters, Flyers, Business Cards) – Tsh 20,000
SEO (Website kuonekana Google) – Tsh 100,000
Data Backup & Recovery – Tsh NA
Network Setup (Office/School) – Tsh NA
CCTV Installation & Configuration – Tsh NA
✔ Huduma za kitaalamu na za kisasa
✔ Bei nafuu na za ushindani
✔ Kazi kwa wakati
✔ Ushauri wa bure kabla ya kuanza mradi
✔ Support ya uhakika baada ya huduma
Sisi si tu watoa huduma — tunakuwa washirika wako wa kidigitali katika ukuaji wa biashara yako.
📍 Location: Majengo, Kahama
📞 0755 328 419 / 0678 920 112
📧 info@ajakaiict.net
🌍 www.ajakaiict.net